Leviticus 8:31

31 aKisha Musa akamwambia Haruni na wanawe, “Pika hiyo nyama kwenye ingilio la Hema la Kukutania, na uile hapo pamoja na mkate kutoka kwenye kikapu cha sadaka ya kuweka wakfu, kama nilivyoagiza, nikisema, ‘Haruni na wanawe wataila.’
Copyright information for SwhKC